NEW DAY HAS COMENini kipya juu ya siku mpya............................................ ?
Watu wengi wanapenda siku mpya wakijua kwamba ya jana imepita ili wafanye mapya
Je unazani kuna alama yoyote ambayo inaonyesha kuwa hii ni siku mpya?
kwanini tunazipa siku majina ............................ kwanini zote zisiwe juamatatu /jumanne
kwani kuna vitu ambavyo vimepangwa vitafanyika jumatutu ,;;;;;;haiwezekani jumanne/jumatano na vikifanyika tofauti na iyo siku kunamadhara yanatokea? fikiria
nini maan ya jumatatu/ jumanne/alhamisi.....................Tafrisi ya neno kwa neno unawezema sema jumatatu ni juma la tatu je ni kweli ? tuwaze kama kuna aja ya kuzipa siku majina kwa sababu kiuhalisia hakuna umuhimu wowote wa kuzipa siku majina ukiangalia neno/jina na tukio havina mahusiano................
tukiangalia kuna tafsiri ya ya siku mfano jumatatu huwa inajulikana kama ni siku ngumu mbaya na yenyemambo mengi. je siku nyingine ni nyepesi nani alisha pima akajua kwamba ni lazima jumatatu iwe ngumu .LAKINI unajua kwamba kuishi siku ya jana kabla ya ya kesho/leo ndio itaamua siku mpya iweje .
ivo katika DUNIA hakuna kipya kama kwako ni kipya kwamwenzako cha zamani na ni mzoefu kabisaaaaaaaaaaa ivo hakuna siku mpya zote zilezile lakini mpangilio wa ko utaamua iwe mpya au ile ile unaweza amua zote jumatatu/ijumaa
fanya siku mpya iwe kwako na si kwa wote fanya jumatatu iwe rahisi na si ngumu ............ Fanya siku zote ziwe sawa lakini yambele izidi ya nyuma utafanya maisha yako kuwa raisi na mepesi zaidiiiiiiiiii
happyness.blogspot.com
No comments:
Post a Comment