Ni shule zinazochukua wanafunzi wa jinsia moja tu wavulana au wasichana. ni shule ambazo zinapendwa sana na watu wengi lakina ni wale ambao si wanafunzi na ambao hawaja wahi kuisoma hizo shule..................jiulize kwa nini??????
mfano wa shule kubwa za single ni ZANAKI girls,FEDHA girls, SENGEREMA BOYZ, MARIAN boyz shule hizi wasomaji ni watu wanaofanana jinsia .
maisha ya wanafunzi wa hizo shule ya na changamoto nyingi sana unajua kwa nini
KWASABABU;
1.wote wananafanana tabia .kama ni boyz basi basi wote /wengi lazima wapige punyeto/masterbation
2.wote watajikuta wako sawa hakuna wa kumtisha mwenzake
3. ushindani ni mdogo baina yao
4.missing of the boy/girls
5. kubanwa sana hasa shule za wasichana
6. practise of single sex
7.Misunderstanding/
mambo kama hayo iviiii na mengineyo
YANAYOJIRI .....................................
Katika maisha ya wanafunzi katika hizi shule yanatokea mengi sana hii ni kwasababu tu ni jinsia moja
MAMBO KAMA
MAMBO KAMA
1. school bush
hizi ni show ambazo zinafanywa na wanafunzi wenyewe ndani ya shule zao...............
Ni mambo flani iviii kama part .graduation , debait ambapa shule zingine huwa zinaalikwa kwa ajili ya kusherekea . Huwezi amini yani karibu shule zote za sinle huwa wanaalika ileeee jinsia ambayo hawana
uliza sasa yanatokea yapi ? weweeeeeeeeeeeeeeeeee ni moto tena wa kuwashia mbali
2,fassion & modaling
Hili ni onyesho la mavazi na matumizi yake hivo wanafunzi wanajiandaa na maonyesho ya mavazi mbalimbali mfano casual, beach whear, tradional, sport,religion ,king & queen, mambo mengi sana huwa wanajitahidi.
3.Sport & games
No comments:
Post a Comment