UNAJUA YALIOJIRI PASAKA HII
hii ni ndani ya pasaka bwana kiteleki(son of tanzania) akititumbuiza ndani ya uwanja wa taifa
Watu kupoteza maisha kwa sababu ya kusherekea sikuku ya pasaka
hii ni baada ya uzembe wa watu mbalimbali kutotambua umuhiimu wa sikukuu ya kusherekea vizuri wengi wanaishia kufanya starehee kupitiliza. Tunapaswa kuwa na familia zetu majumbani kipindi cha sikukuu
No comments:
Post a Comment