LOVE /UPENDO……………………….
.Mapenzi kati ya watu na watu,mtu na mtu.
Wanafunzi,wazazi, wafanyakazi ,wafanyabiashara [jinsi moja/tofauti]
Mapenzi na upendo ni vitu viwili tofauti.ambavyo vinajitegemea na kwamuda maalumu.Mapenzi niupendo unaotokea pale baada ya mtu kutokea kumpenda mtu,kitu fulani.Lakini Upendo ni mapenzi yaloyo ndani ya mtu toka pale alipo zaliwa usio juu ya kitu Fulani.Upendo na mapepenzi vina tofauti kuu mbili.
Tofauti hizo ni
Mapenzi
|
upendo
|
Huweza kuundwa baada ya mtu kuzaliwa
|
Mtu huzaliwa akiwa na upendo
|
Huweza kuaribiwa na kuondoshwa na mtu,kitu chochote cha hapa duniani.
|
Hauwezi kufutika labda mtu atakapo kufa
|
No comments:
Post a Comment