Friday, December 13, 2013

STUDENT FACE: KUHITIMU SHULE>>>>>>>>>>>>>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!!!!...

STUDENT FACE: KUHITIMU SHULE>>>>>>>>>>>>>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!!!!...: KUHITIMU SHULE >>>>>>>>>> >>
 LOVE /UPENDO……………………….

.Mapenzi  kati ya watu na watu,mtu na mtu.

     Wanafunzi,wazazi, wafanyakazi ,wafanyabiashara [jinsi moja/tofauti]

Mapenzi na upendo ni vitu  viwili tofauti.ambavyo vinajitegemea na kwamuda maalumu.Mapenzi niupendo unaotokea  pale  baada ya mtu kutokea kumpenda mtu,kitu fulani.Lakini Upendo ni mapenzi yaloyo ndani ya mtu toka pale alipo zaliwa  usio juu ya kitu Fulani.Upendo na mapepenzi vina tofauti  kuu mbili.

Tofauti hizo ni

Mapenzi
upendo
Huweza kuundwa baada ya mtu kuzaliwa
Mtu  huzaliwa akiwa  na upendo
Huweza kuaribiwa na kuondoshwa na mtu,kitu chochote cha hapa duniani.
Hauwezi kufutika labda mtu atakapo kufa
Tofauti hizi zinapelekea watu wengi kuona kwamba mapenzi ni kwa mke na mume  wachumba na kwawatu wenye mahusiano ya  kimapenzi ,na Upendo ni kwa ndugu jamaa na marafiki.Lakini sivyo mapenzi  ni kwa mtu yeyote na wajinsia yeyote na waumri  wowote.pia halikadhalika upondo.mtu mwenye upendo  wa kweli alio zalio zaliwa nao anatofauti kubwa na Yule mwenye upendo wakutengeneza>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!                          Wa...

No comments:

Post a Comment