Tuesday, March 29, 2016

AKILI ZA AJABU

MTOTO WA AJABU


Maajabu ya mtoto wa miaka 3 kufundisha.Mtoto huyu wa umri wa miaka 3 amekuwa na uwezo tofauti nakustajabisha baada ya kujua vitu vingi na vilivyo nje ya umri .................Na sikwaida kwa mtu yeyote kuweza kuwa kama ivi,   ni jambo la kushangaza mtoto amaye anastahili kuwa chekechea au vidudu ana    fundisha sekondari    DAH............................

Monday, March 28, 2016

PASAKA 2016

UNAJUA YALIOJIRI  PASAKA HII
   
 hii ni ndani  ya pasaka bwana kiteleki(son of tanzania) akititumbuiza  ndani ya uwanja wa taifa
Watu kupoteza maisha  kwa sababu ya kusherekea sikuku ya pasaka

hii ni baada ya uzembe wa watu mbalimbali   kutotambua umuhiimu wa sikukuu ya kusherekea vizuri wengi wanaishia   kufanya starehee kupitiliza. Tunapaswa kuwa  na familia zetu majumbani kipindi cha sikukuu
   

SINGLE SCHOOLS

   SHULE ZA JINSIA MOJA   


Ni shule  zinazochukua wanafunzi wa jinsia  moja tu  wavulana au wasichana.  ni shule ambazo zinapendwa sana na watu wengi  lakina ni wale   ambao si wanafunzi na ambao hawaja wahi kuisoma hizo shule..................jiulize kwa nini??????
mfano wa shule kubwa za single ni ZANAKI girls,FEDHA girls, SENGEREMA BOYZ, MARIAN boyz  shule hizi wasomaji ni watu wanaofanana  jinsia . 
                 maisha ya wanafunzi wa hizo shule ya na changamoto nyingi sana  unajua kwa nini 
KWASABABU;
      1.wote wananafanana tabia .kama ni boyz basi  basi wote /wengi lazima wapige punyeto/masterbation
      2.wote watajikuta wako sawa hakuna wa kumtisha mwenzake
      3. ushindani ni mdogo baina yao
      4.missing of the boy/girls
      5. kubanwa sana hasa shule za wasichana 
      6. practise of single sex  
      7.Misunderstanding/
 mambo kama hayo iviiii na mengineyo  
                         YANAYOJIRI  ..................................... 
 Katika maisha ya wanafunzi katika hizi shule  yanatokea mengi sana  hii ni kwasababu tu ni jinsia moja
      MAMBO KAMA
               1. school bush

hizi ni show ambazo zinafanywa na wanafunzi wenyewe ndani ya shule zao...............
Ni mambo flani iviii kama part .graduation , debait     ambapa shule zingine huwa zinaalikwa kwa ajili ya kusherekea .  Huwezi amini yani karibu shule zote za sinle huwa wanaalika ileeee jinsia ambayo hawana 
 uliza sasa yanatokea yapi ?              weweeeeeeeeeeeeeeeeee ni  moto tena wa kuwashia mbali
            2,fassion  & modaling 

  Hili ni onyesho la mavazi  na matumizi yake  hivo wanafunzi wanajiandaa na  maonyesho ya mavazi mbalimbali mfano casual, beach whear, tradional, sport,religion ,king & queen, mambo mengi sana  huwa wanajitahidi.
         3.Sport & games 
   Michezo ni sehemu moja ya shughuli za wanafunzi ila wezi amini kama takwimu zinaonyesha wanafunzi wengi hawapendi kuchuza, hasa wale  wa shule  za wasichana  kwa sababu wao ni masista duuuuuuu eti so hawataki shobo eti wamekuwa  naakati michezo mingine wana ipenda  teeena we usiambie!!!!!!!!!!!!!!!!!! ni ipi???????? sijui............... (            )jibu kichwani mwako

WHATS NEW DAY

                   NEW DAY HAS COME
  Nini kipya juu ya siku mpya............................................ ?
                            Watu wengi wanapenda siku mpya wakijua kwamba ya jana imepita  ili wafanye mapya
   Je unazani kuna alama yoyote ambayo inaonyesha  kuwa hii ni siku mpya?
kwanini tunazipa siku majina ............................ kwanini zote zisiwe juamatatu /jumanne
 kwani kuna vitu ambavyo vimepangwa vitafanyika jumatutu ,;;;;;;haiwezekani jumanne/jumatano  na vikifanyika tofauti na iyo siku kunamadhara yanatokea? fikiria  
     nini maan  ya jumatatu/ jumanne/alhamisi.....................Tafrisi ya neno kwa neno unawezema sema jumatatu ni juma la tatu je ni kweli ? tuwaze  kama kuna aja ya kuzipa siku majina  kwa sababu kiuhalisia hakuna umuhimu wowote wa kuzipa siku majina   ukiangalia neno/jina  na tukio havina mahusiano................
       tukiangalia kuna tafsiri ya ya siku  mfano jumatatu  huwa inajulikana kama ni siku ngumu  mbaya  na yenyemambo mengi. je   siku nyingine ni nyepesi  nani alisha pima akajua kwamba ni lazima jumatatu iwe ngumu .LAKINI   unajua kwamba kuishi siku ya jana kabla ya ya kesho/leo ndio itaamua  siku mpya iweje .  
ivo katika DUNIA hakuna kipya kama kwako ni kipya kwamwenzako cha zamani  na ni mzoefu kabisaaaaaaaaaaa      ivo  hakuna siku mpya zote zilezile  lakini  mpangilio wa ko utaamua iwe mpya au ile ile  unaweza amua zote jumatatu/ijumaa 
fanya siku mpya iwe kwako na si kwa wote  fanya jumatatu iwe rahisi na si ngumu ............ Fanya siku zote ziwe sawa lakini yambele izidi ya nyuma utafanya maisha yako kuwa raisi na mepesi zaidiiiiiiiiii 
   
happyness.blogspot.com

Friday, March 25, 2016

                                                       happy ester 2016
GOD BLESS YOU 

Sunday, March 29, 2015

AFTER NECTA

MAISHA YA NYUMBANI BAADA YA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE......................
         Wanafunzi wengi wanapo maliza kidato cha nne huawa wanalikizo ndefu sana kutokana na utaratibu ambao tumewekewa na serikali yetu ya Tanzani
          Hivyo basi kulingana na taratibu za mfumo wetu wa elimu tunajikuta ikiwalazimu wanafunzi kukaa nyumbani bila shuguli yoyote ya muhimu  .nahivyo kutulazimu kufanya mambo mengi na mengine yasiyo ya muhimu kwetu ambayo ni kama wale  ambao huwa wanajiunga na course mbalimbali  ili maisha na muda uweze kusonga mbele ............japo maisha ni kutafuta kuna wengine ambao huwa wanajishughulisha na shuguli mbalimbali ila kuweza kusukuma maisha yaweze kusonga.Kwani wapo ambao huwa wanaishi kwenye hali ngumu ya maisha hasa kwa kipindi hicho ambacho wanakaa nyumbani muda wote bila kuwa na lakufanya,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

          Muda huu wanafunzi hao huitwa majina mengi ya mitaaani Kama wanakijiji ,raiya wa mda,na kupewa uhuru wa kufanya mambo mbalimbali wakiwa mtaani/ kitaaa. wengine hutumia muda huo kujiunga na makundi ambayo hayana  faida kwao.................Makundi hayo ambayo huweza kuletamadhara makubwa sana kwa maisha yao ya baadaye .Makundi ambayo vijana wengi ambayo huwa wanajiunga ni kama makundi ya kuvuta bangi unywaji wa pombe ,club kwa sana  na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii(social network) bila kujali faida na hasara ya vitu hivyo .
                  Kwa upande wa mabinti au dada zetu wapo ambao hutumia mda huu vizuri tena ni hasa wale walio chini ya uangalizi au amalezi mazuri ya wazazi wao.Kwa wala ambao walilelewa malezi ya siyo na msingi mzuri au wale wasiyo jitambua nini wanapaswa kufanya huishia kupotea .au wakali wanasema  kupigwa puu ..... tunaona wengi wanapotela kwanye starehe kutakaka vitu vya matawi na wakati hawana uwezo wa kuvipata zaidi ya kuhongwa na miji BABA yenye pesa zao hapa kwetu mjini. Na mwisho kuishia kubeba mimba na zimwi(magonjwa).hii kiuweli huwafanya wengi kupoteza malengo yao na kuwa ni hasara kwafamilia zao na si familia tuuuu bali hata nchi kwa ujumla
              Hivyo vijana tunapaswa kijitambua  na kuelewa nini tunapaswa kifanya kwa muda ambao tumepewa na seikali ambao ni takribani miezi 8-9 ambayo tumepewa mapumziko na serikali yetu.........................>>>>>>>>>>>>


Friday, December 13, 2013

STUDENT FACE: KUHITIMU SHULE>>>>>>>>>>>>>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!!!!...

STUDENT FACE: KUHITIMU SHULE>>>>>>>>>>>>>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!!!!...: KUHITIMU SHULE >>>>>>>>>> >>
 LOVE /UPENDO……………………….

.Mapenzi  kati ya watu na watu,mtu na mtu.

     Wanafunzi,wazazi, wafanyakazi ,wafanyabiashara [jinsi moja/tofauti]

Mapenzi na upendo ni vitu  viwili tofauti.ambavyo vinajitegemea na kwamuda maalumu.Mapenzi niupendo unaotokea  pale  baada ya mtu kutokea kumpenda mtu,kitu fulani.Lakini Upendo ni mapenzi yaloyo ndani ya mtu toka pale alipo zaliwa  usio juu ya kitu Fulani.Upendo na mapepenzi vina tofauti  kuu mbili.

Tofauti hizo ni

Mapenzi
upendo
Huweza kuundwa baada ya mtu kuzaliwa
Mtu  huzaliwa akiwa  na upendo
Huweza kuaribiwa na kuondoshwa na mtu,kitu chochote cha hapa duniani.
Hauwezi kufutika labda mtu atakapo kufa
Tofauti hizi zinapelekea watu wengi kuona kwamba mapenzi ni kwa mke na mume  wachumba na kwawatu wenye mahusiano ya  kimapenzi ,na Upendo ni kwa ndugu jamaa na marafiki.Lakini sivyo mapenzi  ni kwa mtu yeyote na wajinsia yeyote na waumri  wowote.pia halikadhalika upondo.mtu mwenye upendo  wa kweli alio zalio zaliwa nao anatofauti kubwa na Yule mwenye upendo wakutengeneza>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!                          Wa...

Wednesday, June 26, 2013

KUHITIMU SHULE>>>>>>>>>>>>>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

                         Wanafunzi wengi huwa wanajisikia furaha sana kuhitimu masomo yao,hii yote ni kwasababu ya kusoma kwa muda mrefu ,pia huwa wanatamani sana maisha ya nyumbani kupumzika na wengine kuendelea na shuguli nyingine ,Kwa asilimia kubwa hapana mwanafunzi yeyote atakaye hitimu masomo alafu achukie hakuna kabisa labda awe amfeli /amefanya vibaya mitihani yake .wanafunzi wengi wakimaliza shule huwa wanajibweteka na si kujishuhulisha na shughuli nyingine za kimaendeleo ya kiuchumi.Aslimia kubwa  hu2lia kungoja matokeo na wengine hujihusisha na mambo ya mahusiano yakimapenzi,mwiho huishia kubebesha na kubebeswa mimba zisizo na mpango wowote wenye maana katika maisha ya binadamu alie na akili timamu na zinaofikiria.Kutokana na hilo inapelekea kuleta madhara mengi katika jamii na taifa kwa ujumla,kutokana na mimba za utotoni ,watoto wa mtaani na kadhalika................................................! http://www.student face.blogspot.com